<abbr id="aakgw"><source id="aakgw"></source></abbr>
<dl id="aakgw"><tr id="aakgw"></tr></dl>
<li id="aakgw"></li>
  • <li id="aakgw"></li>
    <bdo id="aakgw"></bdo>
    <sup id="aakgw"><bdo id="aakgw"></bdo></sup><code id="aakgw"></code>

    Rais Xi Jinping apokea nishani ya ngazi ya juu zaidi ya Urafiki iliyotolewa na rais Shavkat Mirziyoyev wa Uzbekistan

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 16, 2022

    Tarehe 15, Septemba kwa saa za Samarkand, rais Xi Jinping wa China akipokea nishani hiyo iliyotolewa na rais Shavkat Mirziyoyev wa Uzbekistan kwenye kituo cha mikutano ya kimataifa cha Samarkand, Uzbekistan. (Xinhua/Ding Haitao)

    Tarehe 15, Septemba kwa saa za Samarkand, rais Xi Jinping wa China alipokea nishani ya ngazi ya juu zaidi ya Urafiki iliyotolewa na rais Shavkat Mirziyoyev wa Uzbekistan kwenye kituo cha mikutano ya kimataifa cha Samarkand, Uzbekistan.

    Nishani ya ngazi ya juu zaidi ya Urafiki ni heshima ya juu zaidi inayotolewa na Uzbekistan kwa watu wa nchi za nje, ikilenga kusifu watu waliotoa mchango maalum kwa ajili ya kuendeleza uhusiano wa kirafiki kati ya Uzbekistan na nchi nyingine, kutatua matatizo makubwa ya kimataifa na kikanda, na kuchangia maendeleo ya nchi ya Uzbekistan. Hii ni mara ya kwanza kwa nishani hiyo kutolewa tangu ilipowekwa.

    (Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

    Picha