Lugha Nyingine
Rais Xi asisitiza usimamizi wa ngazi ya juu kwa ajili ya maendeleo bora ya jeshi
Rais Xi Jinping wa China ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) amesisitiza usimamizi wa ngazi ya juu kwa ajili ya kuhimiza maendeleo bora ya jeshi.
Rais Xi amesema hayo siku ya Jumatatu alipoongoza kikao cha mafunzo ya pamoja cha Ofisi ya Siasa ya Kamati Kuu ya CPC.
Kikao hicho kiliitishwa kabla ya maadhimisho ya siku ya kuanzishwa kwa Jeshi la Ukombozi wa Umma la China (PLA) tarehe Mosi, Agosti.
Picha: Alama kama mishipa kwenye kando ya Mto Huanghe huko Henan, China
Onyesho la mitindo ya mavazi lafanyika kando ya Tamasha la 6 la Kimataifa la Dansi la China Xinjiang
Zaidi ya wasanii 1,000 waleta sanaa ya kale kwenye tamasha la dansi la Xinjiang
Sarakasi za kijadi zang'ara katika Mji wa Wuqiao, mkoani Hubei, Kaskazini mwa China
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma