<abbr id="aakgw"><source id="aakgw"></source></abbr>
<dl id="aakgw"><tr id="aakgw"></tr></dl>
<li id="aakgw"></li>
  • <li id="aakgw"></li>
    <bdo id="aakgw"></bdo>
    <sup id="aakgw"><bdo id="aakgw"></bdo></sup><code id="aakgw"></code>

    Mwakilishi wa Xi kuhudhuria mazishi ya kitaifa ya hayati rais wa Namibia

    (CRI Online) Februari 23, 2024

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Mao Ning ametangaza siku ya Alhamisi kuwa Mwakilishi Maalum wa Rais Xi Jinping wa China ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la China Jiang Zuojun amesafiri kwenda Namibia Februari 22 kuhudhuria mazishi ya kitaifa ya hayati Rais wa Namibia Hage Geingob huko Windhoek.

    (Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

    Picha