<abbr id="aakgw"><source id="aakgw"></source></abbr>
<dl id="aakgw"><tr id="aakgw"></tr></dl>
<li id="aakgw"></li>
  • <li id="aakgw"></li>
    <bdo id="aakgw"></bdo>
    <sup id="aakgw"><bdo id="aakgw"></bdo></sup><code id="aakgw"></code>

    Rais Xi Jinping?amefunga safari ya kuelekea ?Ufaransa, Serbia na Hungary?kufanya ?ziara za kiserikali

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 05, 2024

    BEIJING - Rais wa China Xi Jinping ameondoka Beijing leo Jumapili asubuhi kwa ziara za kiserikali nchini Ufaransa, Serbia na Hungary kutokana na mwaliko wa Rais Emmanuel Macron wa Jamhuri ya Ufaransa, Rais Aleksandar Vu?i? wa Jamhuri ya Serbia, na Rais Tamás Sulyok na Waziri Mkuu Viktor Orbán wa Hungary.

    Watu wanaofuatana na Rais Xi katika ziara yake hiyo, wakiwa pamoja na mkewe Peng Liyuan, Cai Qi, mjumbe wa Kudumu wa Ofisi ya Siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Ofisi Kuu ya Kamati Kuu ya Chama cha CPC, na Wang Yi, mjumbe wa Ofisi ya Siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha CPC ambaye pia ni waziri wa mambo ya nje wa China.

    (Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

    Picha