<abbr id="aakgw"><source id="aakgw"></source></abbr>
<dl id="aakgw"><tr id="aakgw"></tr></dl>
<li id="aakgw"></li>
  • <li id="aakgw"></li>
    <bdo id="aakgw"></bdo>
    <sup id="aakgw"><bdo id="aakgw"></bdo></sup><code id="aakgw"></code>
    人民網首頁

    Picha

    Zhuo Qiang akikagua hali ya ng'ombe aliyeshambuliwa na simba katika familia ya Wamaasai huko Maasai Mara, Kenya, Agosti 22, 2024. 
 (Xinhua/Wang Guansen)

    Mhifadhi Mazingira wa China Atoa mchango katika Uhifadhi wa Wanyama Pori Nchini Kenya

    Kuanzia kutazama katuni zinazoonyesha wanyama pori utotoni hadi kuwa mhifadhi wa Wanyama pori, Zhuo Qiang, aliyepewa jina la utani Simba, ni Mchina wa kwanza anayefanya kazi ya uhifadhi wa wanyama pori barani Afrika. Mwaka 2011, Zhuo Qiang alikwenda mbuga ya Maasai Mara-Serengeti, ambapo alikuwa akiishi na Wamaasai na kufanya kazi na wahifadhi wenyeji katika Hifadhi ya Wanyama Pori ya Ol Kinyei.

    Gatera akikagua mahindi kwenye shamba la Chuo Kikuu cha Kilimo cha Anhui huko Hefei, Mkoa wa Anhui, mashariki mwa China, Agosti 13, 2024. (Xinhua/Huang Bohan)

    Simulizi ya Picha: Mwanafunzi wa Rwanda Ajikita Kwenye Utafiti wa Mahindi Nchini China

    Gatera, Mnyarwanda mwenye umri wa miaka 31, ni mwanafunzi wa PhD katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Anhui, na kozi yake ni kuotesha mbegu za mahindi. Mwaka 2019, Gatera alikuja Hefei, Mkoa wa Anhui kusoma shahada ya uzamili kwa ufadhili wa serikali ya China na kuendelea masomo yake ya shahada ya uzamivu katika chuo kikuu hicho.

    Meli ya hospitali ya kikosi cha majini cha Jeshi la Ukombozi wa Umma la China (PLA) ikiwasili kwenye bandari ya Cape Town, Afrika Kusini, tarehe 22, Agosti. (Xinhua/Gui Xinhua)

    Meli ya Hospitali ya jeshi la Majini la China “Peace Ark” yawasili Afrika Kusini kwa mara ya kwanza

    Meli ya hospitali ya kikosi cha majini cha Jeshi la Ukombozi wa Umma la China (PLA), “Peace Ark”, iliyo katika “Jukumu la Masikilizano 2024” imewasili katika Afrika Kusini Tarehe 22, Agosti na kuanza ziara yake kwa siku saba na kutoa huduma za matibabu. Hii ni mara ya kwanza kwa Meli ya hospitali “Peace Ark” kufanya ziara nchini Afrika Kusini.

    Iliyopita3 4 5 6 7