<abbr id="aakgw"><source id="aakgw"></source></abbr>
<dl id="aakgw"><tr id="aakgw"></tr></dl>
<li id="aakgw"></li>
  • <li id="aakgw"></li>
    <bdo id="aakgw"></bdo>
    <sup id="aakgw"><bdo id="aakgw"></bdo></sup><code id="aakgw"></code>

    Mashindano ya Mbio za Mashua za Dragoni yafanyika kote China kusherehekea Sikukuu ya jadi ya Duanwu (3)

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 23, 2023
    Mashindano ya Mbio za Mashua za Dragoni yafanyika kote China kusherehekea Sikukuu ya jadi ya Duanwu
    Washiriki wakishindana kwenye mashindano ya mbio za mashua za dragoni huko Harbin, Mkoa wa Heilongjiang, Kaskazini Mashariki mwa China, Juni 22, 2023. (Xinhua/Zhang Tao)

    Mashindano ya Mbio za mashua za Dragon yamefanyika kote nchini China kusherehekea Sikukuu ya Tamasha la Mashua ya Dragon au Sikukuu ya Duanwu, ambayo ni sikukuu ya jadi ya China inayosherehekewa siku ya Tarehe 5, Mwezi wa 5 kila mwaka kwa kalenda ya kilimo ya China, na kwa mwaka huu imeangukia Juni 22.

    (Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

    Picha