<abbr id="aakgw"><source id="aakgw"></source></abbr>
<dl id="aakgw"><tr id="aakgw"></tr></dl>
<li id="aakgw"></li>
  • <li id="aakgw"></li>
    <bdo id="aakgw"></bdo>
    <sup id="aakgw"><bdo id="aakgw"></bdo></sup><code id="aakgw"></code>

    Rais Xi Jinping ahudhuria ufunguzi wa michezo ya vyuo vikuu mjini Chengdu

    (CRI Online) Julai 28, 2023
    Rais Xi Jinping ahudhuria ufunguzi wa michezo ya vyuo vikuu mjini Chengdu

    Rais Xi Jinping wa China, leo amehudhuria sherehe ufunguzi wa michezo ya 31 ya majira ya joto ya Vyuo Vikuu ya duniani FISU iliyofanyika mjini Chengdu, Mkoani Sichuan, Kusini magharibi mwa China.

    (Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

    Picha