<abbr id="aakgw"><source id="aakgw"></source></abbr>
<dl id="aakgw"><tr id="aakgw"></tr></dl>
<li id="aakgw"></li>
  • <li id="aakgw"></li>
    <bdo id="aakgw"></bdo>
    <sup id="aakgw"><bdo id="aakgw"></bdo></sup><code id="aakgw"></code>

    Sherehe ya mavuno yafanyika kwenye mashamba ya mpunga huko Xinglong, Mkoa wa Sichuan Kusini-Magharibi mwa China (2)

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 04, 2023
    Sherehe ya mavuno yafanyika kwenye mashamba ya mpunga huko Xinglong, Mkoa wa Sichuan Kusini-Magharibi mwa China
    Picha hii iliyopigwa tarehe 2 Septemba, 2023 ikionyesha watu wakila chakula cha asili cha kienyeji katika Kijiji cha Xinglong, Wilaya ya Yanbian, Mkoa wa Sichuan, Kusini-Magharibi mwa China. Sherehe ya mavuno imefanyika kwenye mashamba ya mpunga katika Kijiji cha Xinglong, Wilaya ya Yanbian, Mkoa wa Sichuan Kusini-Magharibi mwa China, ambapo wanakijiji na watalii wameshiriki katika mashindano ya mavuno ya mpunga, tamasha, soko, na karamu kubwa ya kwenye meza ndefu shambani. (Xinhua/Jiang Hongjing)
    (Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)

    Picha