<abbr id="aakgw"><source id="aakgw"></source></abbr>
<dl id="aakgw"><tr id="aakgw"></tr></dl>
<li id="aakgw"></li>
  • <li id="aakgw"></li>
    <bdo id="aakgw"></bdo>
    <sup id="aakgw"><bdo id="aakgw"></bdo></sup><code id="aakgw"></code>

    Msimu wa Mavuno ya Shayiri waanza katika Mji wa Shannan Mkoa wa Xizang, China

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 02, 2024
    Msimu wa Mavuno ya Shayiri waanza katika Mji wa Shannan Mkoa wa Xizang, China
    Wanakijiji katika Kijiji cha Langsailing cha Kitongoji cha Zhaqi, Wilaya ya Zhanang katika Mji wa Shannan, Mkoa wa Xizang, China wakivuna shayiri, Julai 31. (Xinhua/ Zhang Rufeng)

    Hivi karibuni, wilaya ya Zhanang ya mji wa Shannan katika Mkoa wa Xizang, Kusini Magharibi mwa China imekaribisha msimu wa mavuno ya shayiri. Watu walikuwa na pilika nyingi za kuvuna shayiri na kuhisi furaha ya mavuno.

    (Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

    Picha