<abbr id="aakgw"><source id="aakgw"></source></abbr>
<dl id="aakgw"><tr id="aakgw"></tr></dl>
<li id="aakgw"></li>
  • <li id="aakgw"></li>
    <bdo id="aakgw"></bdo>
    <sup id="aakgw"><bdo id="aakgw"></bdo></sup><code id="aakgw"></code>

    Mkoa wa Shandong, China waendeleza mageuzi na maendeleo jumuishi ya bandari za pwani (3)

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 09, 2024
    Mkoa wa Shandong, China waendeleza mageuzi na maendeleo jumuishi ya bandari za pwani
    Picha hii iliyopigwa kwa droni Julai 2, 2024 ikionyesha mwonekano wa Bandari ya Rizhao, mjini Rizhao, Mkoa wa Shandong, mashariki mwa China. Xinhua/Guo Xulei)

    Katika miaka ya hivi karibuni, Mkoa wa Shandong, Mashariki mwa China umekuwa ukitumia kikamilifu maliasili yake baharini kuhimiza maendeleo na mageuzi jumuishi ya bandari za pwani, ili kujenga kundi la bandari za kiwango cha juu.

    (Wahariri wa tovuti:Song Ge,Renato Lu)

    Picha