<abbr id="aakgw"><source id="aakgw"></source></abbr>
<dl id="aakgw"><tr id="aakgw"></tr></dl>
<li id="aakgw"></li>
  • <li id="aakgw"></li>
    <bdo id="aakgw"></bdo>
    <sup id="aakgw"><bdo id="aakgw"></bdo></sup><code id="aakgw"></code>

    Mkutano?na waandishi wa habari wa mkutano wa kilele wa 2024 wa FOCAC wafanyika Beijing

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 03, 2024
    Mkutano?na waandishi wa habari wa mkutano wa kilele wa 2024 wa FOCAC wafanyika Beijing
    Mwandishi wa habari akiuliza maswali katika mkutano na waandishi wa habari wa Mkutano wa Kilele wa 2024 wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) mjini Beijing, China, Septemba 2, 2024. (Xinhua/Li Xin)

    Mkutano na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Mkutano wa Kilele wa 2024 wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) ambao utafanyika Septemba 4 - 6 umefanyika mjini Beijing siku ya Jumatatu, Septemba 2.

    (Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

    Picha