<abbr id="aakgw"><source id="aakgw"></source></abbr>
<dl id="aakgw"><tr id="aakgw"></tr></dl>
<li id="aakgw"></li>
  • <li id="aakgw"></li>
    <bdo id="aakgw"></bdo>
    <sup id="aakgw"><bdo id="aakgw"></bdo></sup><code id="aakgw"></code>

    Shughuli mbalimbali za kiutamaduni na kijadi zafanyika Anhui, China kusherehekea Sikukuu ya Kijadi ya Mbalamwezi (4)

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 27, 2023
    Shughuli mbalimbali za kiutamaduni na kijadi zafanyika Anhui, China kusherehekea Sikukuu ya Kijadi ya Mbalamwezi
    Watoto wakionesha keki zao za mwezi (mooncakes) walizotengeneza wenyewe kwenye moja ya chekechea katika Mji wa Lianyungang, Mkoa wa Jiangsu, Mashariki mwa China, Septemba 26. (Xinhua/ Wang Chun)

    Sikukuu ya Kijadi ya Mbalamwezi nchini China imekaribia, na shughuli mbalimbali za kiutamaduni na kijadi zinafanyika kote nchini kusherehekea sikukuu hiyo.

    (Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)

    Picha