<abbr id="aakgw"><source id="aakgw"></source></abbr>
<dl id="aakgw"><tr id="aakgw"></tr></dl>
<li id="aakgw"></li>
  • <li id="aakgw"></li>
    <bdo id="aakgw"></bdo>
    <sup id="aakgw"><bdo id="aakgw"></bdo></sup><code id="aakgw"></code>

    Kambi ya mafunzo kwa wanafunzi wenye matatizo ya kuona yafikia?tamati mjini Shanghai, China (6)

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 08, 2024
    Kambi ya mafunzo kwa wanafunzi wenye matatizo ya kuona yafikia?tamati mjini Shanghai, China
    Mwanafunzi Peng Xiangxiang (Kushoto) akifanya mazoezi ya kutumia fimbo ya kuongoza watu wenye matatizo ya kuona, anatembea yeye mwenyewe kwa kuambatana na mtu wa kujitolea mjini Shanghai, Mashariki mwa China, Agosti 6, 2024. (Xinhua/ Chen Haoming)

    Kambi ya mafunzo ya siku kumi kwa wanafunzi 20 wenye matatizo ya kuona wa vyuo vikuu kutoka sehemu mbalimbali za China imehitimishwa huko Shanghai, mashariki mwa China siku ya Jumatano Agosti 6, 2024. Wanafunzi hao 20 wenye matatizo ya kuona watafaa zaidi katika maisha yao yajayo ya chuo kwa uwezo wa kimwili na kiakili waliojifunza kwenye kambi hiyo ya mafunzo.

    (Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Renato Lu)

    Picha